HOJA YANGU
Jisikie huru kutoa maoni kwa habari yoyote iliyochapishwa kwenye blog hii.
Tumia Jukwaa hili kupashana habari, kubadilishana mawazo.
Taadhari. Maoni yatakayokiuka maadili hayatachapishwa
UTAWALA
Jisikie huru kutoa maoni kwa habari yoyote iliyochapishwa kwenye blog hii.
Tumia Jukwaa hili kupashana habari, kubadilishana mawazo.
Taadhari. Maoni yatakayokiuka maadili hayatachapishwa
UTAWALA
Kwa mara ya kwanza napata kuona Blog ya Wanakusini, nimefurahi kupata nafasi ya kujua yanayoendelea Mtwara na Lindi haswa Suala la Gesi na Mengineyo kwa vile nipo nje ya nchi kwa sasa. Mimi ni mdau wa maendeleo kusini nimekuwa nikisoma habari hii kwenye vyombo vya habari. Kwa kupata Blog hii huenda ikawa ni njia nyingine ya kujua mambo kinagaubaga kwa mtazamo halisi wa Wanakusini na kama lilivyo lengo la Blog hii nataraji itakuwa ni sehemu muafaka kwa wadau wa kusini kuitumia kupashana habari, Kuelimishana na kuhamasisha maendeleo ya Kusini kwa kutumia furusa mbalimbali zilizopo.
Napongeza juhudi zenu, hii ni njia nzuri ya kuitangaza kusini na kuunganisha vijana wenye taaluma mbalimbali kwa maendeleo ya kusini
TUPO PAMOJA, TUTAKUWA PAMOJA
I just want to tell you that I’m new to weblog and absolutely enjoyed this web site. Most likely I’m want to bookmark your website . You absolutely come with remarkable posts. Regards for sharing your blog site.
sijui kwanini tunapenda kutatua mambo kwa mazoea?swalihiri napenda kuwauliza tuliowapa majukumu/dhamana ya kutatua na kuyatekereza matakwa yetu.rasilimali yoyote iliyopo kwenye ardhi yetu ya tanzania ni jukumu la viongozi wetu kutueleza namna ya kufanya ili tuweze kufaidika na mali hiyo.kuhusu gesi ya mtwala na sehem nyingine yoyote ya tanzania ni vizuri kuwaeleza wananchi na watanzania kwa ujumla nini mnataka kufanya na faida itayopatikana kwao na watanzani wote,kwa kufanya hivyo naamini hakuna atakae pigana wala kuandamana hapa tanzania.tatizo waliopo juu hawataki kueleaza ukweli na wanataka wajinufaishe wao tu.
“Tumedhubutu,tumefanya na tusongembele”
Umefika wakati wa kuwa nchi yetu huru,serikali iligeuza kusini kuwa mkiani,walisahau kuwa utafika wakati huu,tunafahamu haki zetu na wajibu wetu kuwa ni kutii amri lkn sio ya viongozi majuha,wadhulumati.Uasi ni dhambi ktk dini zote lkn sio kuwaasi wanaowakandamiza,hapa nabainisha sababu ambazo n
“Tumedhubutu,tumefanya na tusongembele”
Umefika wakati wa kuwa nchi yetu huru,serikali iligeuza kusini kuwa mkiani,walisahau kuwa utafika wakati huu,tunafahamu haki zetu na wajibu wetu kuwa ni kutii amri lkn sio ya viongozi majuha,wadhulumati.Uasi ni dhambi ktk dini zote lkn sio kuwaasi wanaowakandamiza,hapa nitabainisha baadhi ya 7bu ambazo nchi ya mwisho duniani kupata uhuru(Sudan Kusuni) ziliwafanya kudai kujitenga.
1)Mgawanyo wa rasilimali.Serikali ya Al bashir haikuendele maeneo ya kusini ingawaje ndiko kwenye mafuta yanayochangia zaidi ya 80% ya pato la taifa.
2)Miundombinu.Sudani Kusini inajijenga ss kwani mkoloni wao Serikali ya Khatum haikujenga chochote ispokuwa bomba la mafuta kutoka S.Ksn-S.kskzn.
3)Kudharauliwa.Wakusini walikuwa hawana thamani mbele ya watu wa kaskazin.(Kwetu je
hayapo haya,km unabisha leo nenda ubungo kakate tiketi.)
3)Kudhalauliwa kwa Watu wa Kusin.Watu wa S.Kusin watokana na