Monthly Archive: November, 2013

Tanecu

TANECU NA MAKUSANYO YA KOROSHO JUMLA ya kilo milioni 21,314,157 za korosho zimekusanywa kutoka kwa wakulima wa zao hilo wa wilaya za Newala na Tandahimba mkoani Mtwara tangu kuanza kwa msimu wa mauzo… Continue reading

Rate this:

UVCCM na korosho Mtwara

UVCCM WAICHONGEA BODI YA KOROSHO KWA JK UMOJA wa Vijana Mkoa wa Mtwara UVCCM, umemuomba Rais Jakaya Kikwete kutumia madaraka aliyonayo kuvunja bodi ya korosho iliyopo madarakani mara moja kwa madai kuwa ndio… Continue reading

Rate this:

BIMA YA AFYA YAWABANA WANAOTUMIA KADI BANDIA

BIMA YA AFYA YAWABANA WANAOTUMIA KADI BANDIA Na Kusini Ripota, Mtwara. WANACHAMA wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoani Mtwara wamehimizwa kurejesha kadi zao za uanachama mara baada ya uanachama… Continue reading

Rate this:

SERIKALI YAOMBWA KUWAPA DILI WAJASIRIAMALI WADOGO

WAPENI DILI WAJASIRIAMALI WADOGO WANAWAKE. Na Ripota wa Kusini, Mtwara. TAASISI za umma, makampuni binafsi yamehimizwa kuwatumia wajasiriamali wadogo wanawake kuwapa huduma mbalimbali wanazohitaji ili kuwajengea uwezo badala ya kufuata huduma hizo katika… Continue reading

Rate this:

CHAUME NA RASILIMALI ZA UMMA

RASILIMALI ZA UMMA, Na Kusini Ripota, Chaume. MAFUNZO ya uwajibikaji wa jamii katika usimamizi wa rasilimali za umma katika sekta ya kilimo na mifugo yamebaini kuwapo kwa ubadhilifu uliofanyika katika mradi wa DADPS… Continue reading

Rate this:

  • WAANDISHI