ZOEZI la uchukuaji fomu kwaajili ya vijana mbalimbali kushiriki katika Shindano la Mashujaa wa Kesho la Statoil limeendelea kushika kasi huku idadi kubwa ya vijana wakiendelea kurejesha fomu kwa lengo la kushiriki katika kinyang’anyiro hicho. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, AfisaMawasilianowa Statoil Tanzania, Erick Mchome alisema hadi sasa zaidi yavijana 150 tayari wamerejesha fomu zao tayari kwa kuyashindanisha mawazo anuai ya miradi yao walio iwasilisha kwaajili ya kushiriki katika shindano hilo. Mchome alisema vijana hao wamejaza fomu kwaajili ya kushiriki katika shindano hilo kuwania kitita cha Dola 5,000 kwa mshindi wa kwanza”. “Kimsingizoezihili la shindano la Mashujaa wa… Continue reading →